Willy Paul akutana na role model wake, Diamond Platnumz

Hivi sasa msanii wa nyimbo za injili Willy Paul yuko Tanzania wiki hii kwaajili ya ziara ya vyombo wake mpya ‘I do’ aliomshirikisha msanii wa Jamaica, Alaine.

Kupitia mitandao wake wa Instagram Willy Paul alisema kuwa yuko Tanzania kupromote wimbo huu kupitia vyombo maharufu vya Tanzania. Leo asubui aliweza kufika katika kituo cha clouds tv 360 amabapo aliweza kuzungumzia kuhusu wimbo wake mpya.

Soma: Hatimaye Ray C akutana na Rayvanny na Diamond Platnumz
Kupitia mitandao yake ya kijamii Willy Paul alindika kusema,

Tanzania clouds tv 360.. I’m almost love… tune in to clouds tv and see ur favorite boy.. Willy paul.. #Ido song promotion

Hata hivyo, si mashibiki wengi walifurahia anachokifanya Willy Paul kama msanii anayejitambua kama mwimbaji wa nyimbo za injili. Wengi waliwacha comments wakimsihi achangue msimamo kati ya gospel na injili.

Wengi wa mashibiki walisema kuwa Willy Paul Msafi anajificha katika gospel music kutengeza pesa ilhali anajichanganya na wasanii wanaoimba muziki wa kidunia kuonesha kuwa nia yake si safi.

Paul Makonda asema vijana wengi wameacha madawa ya kulevya tangu awachukulie watu maharufu hatua

Paul Makonda anaonekana kuwa mtu anayefuraha nyingi baada ya kufanya vijana waache kutumia madawa ya kulevya. Katika sherehe zilizofanyika hivi majuzi, Paul Makonda alisikika akisema kuwa vijana wengi wameacha madawa kupitia jitihada alizofanya kwa kushirikiana na Watendaji wengine wa Serikali.

Soma:“Mkome kunihusisha na watu wasio jua kitu chochote kuhusu maisha yangu” Wema Sepetu awaonya mashabiki
Mh Makonda huyu amesema kuwa jambo hilo linawafurahisha wazazi wengi walikuwa wanahofia watoto wao kupotea kwa kutumia madawa haya. Ingawa si wote wamebadilika, Makonda anaendelea kujitia moyo kuwa siku itafika na pia wao watanaswa na mkono wa serikali kuwanyosha.

Mwezi uliopita Paul Makonda aliwapeana amri kuwa Wema Sepetu, Romy Jones, TID na wengine wakamatwe kwa kushukiwa kuwa walikuwa wanahuika na mauzaji na matumiaji ya dawa za kulevya.

Lakini kwa sasa Paul Makonda amemsifu TID kwa kusema kuwa anaendelea vizuri na pia afya yake inaendelea kuwa nzuri. Hivi sasa anvutia kisura na ikiwa amejitolea kuachan madawa kabisa, basi mwezi ijayo atakuwa mtu wa maana tena

“Mkome kunihusisha na watu wasio jua kitu chochote kuhusu maisha yangu” Wema Sepetu awaonya mashabiki

Mrembo Wema Sepetu ambaye sasa ameingia kwenye siasa hici juzi aliwaonya mashabbiki ambao wamekuwa wakimhusisha na mambo yasiyo na mbele au nyuma.

Kupitia mtandao was Instagram Wema Sepetu aliandika ujumbe mrefu huku akiwaomba mashibiki wakome kumfikiria kuwa yeye anamahusiano na Kibabude. Wawili hawa walikuwa wanashukiwa kuwa wanamahusiano baada ya kuonekana wakiwa pamoja mara kadhaa.

Wema aliandika kusema…

They Say Silence is The Best Weapon but sometimes Silence can mislead you…. Just sometimes though…. Anyways, Y’all better stop involving me with people who dont know a pinch abt my life… Im a People’s person, Talking to everyone & laughing with everyone is what I do… Mwisho wa siku hakuna binadamu aliekamilika chini ya jua… Y’all know Im a sweetheart like that… So lets nat misunderstand one another…. I hope we are Clear…. If there is anything anyone would like to ask then Download my app and subscribe…. I just cant wait for iOs users to join our Family…. There’s gon be sooo much FUN….!!!

Kibabude ata yeye amekana kuwa mpenzi wa Wema na akaelezea kuwa kwa hivi sasa amerudiana na mama watoto wako. Kwa hivyo kwa sasa hataki drama mitandaoni itakayo vunja familia yake.