Daktari maarufu Bongo adai kuwa Wolper ni ‘Wife material’

Japo Wolper bado hajapata mtu ambaye anaweza kumuoa mrembo huyu wa muvi za bongo sasa hivi anatoka na mwanaume ambaye anasemekana ni mdogo kumshinda.

Hii iliwafanya watu wengi kumchana lakini Daktari mmoja kutoka Bongo, Dk Fadhili Emily ameonekana kuwa na maoni tofauti. Akizungumza katika mahojiano alisema kuwa mrembo huyu akona uwezo wa kuwa mke mzuri kwam tu yeyote.

“Nimeona kwenye mitandao, wanamuandama kuwa hajatulia na kwamba ana msururu mkubwa wa wanaume ambao ametembea nao, kimsingi huyu mrembo hajapata tu mtu sahihi lakini anafaa kuwa mke wa kulea familia kabisa,”

Hata hivyo daktari huyu pia anasemekana kuwa hapo awali alitoka kimapenzi na Wolper lakini wakamwagana kwa sababu ambazo sio wengi wanajua.

 

Wolper awasihi raia na wasanii wa Bongo movie kumsaidia Jini Kabula anaye Ugua

Jackline Wolper ambaye ni malkia wa bongo movie amejitokeza kuwaomba wasanii wenzake na raia pia kumsaidia Mariam Jolwa anayejulikana kama Jini Kabula aneyeugua ugonjwa wa akili.

Kupitia mtandao wake Wa a Instagram Wolper aliandika kusema;

Natamani niongee mambo mengi sana juu yako lakini natamani ata kukusaidia urudishe akili yako swali ni kwamba nimechelewa??nakama nimewahi je nitafanikiwa kweli. sasa tuzungumze jambo jamani maana siju hizi tarfa tunazipata insta naona nalangu niliongelee insta wanatasnia wenzangu tunamsaidiaje mwenzetu nini kimekuta kipi je nayoyasikia ndio hayo????nakama ndio mbona kuna wataalam wakusena nae naakakaaa sawa. Basi watanzania wenzangu naombeni tuchangie maoni yenu hapa nakama nim2 uwezi toa ushauri hapa basi tuma msg kwakupitia cm hii 0765776776 basi tuweze kumrudisha kabula jamani. naandika msg hii huku nalia namoyo mdogo sana usiweza kuvumilia naumivu nakumbuka nimishawahi kumwambia kabula we nimwanamke mzuri sana bongo movie lkn natamani kujua tatizo nini kacheka tuu akachukua nguo akaondoka sikupata muda wakuzungunza nae ….sasa npo safarini hope kesho au kesho kutwa nikijaliwa tukutane kwaoamoja .. Bongo movie tumfwate alipo jamani tujue tunamsaidiaje nimeona vdio anaongea sjui niamechanganyikiwa masikn me ata nashindwa kuandika jamani ….

Huyu ndiye mrembo mpya anayetoka kimapenzi na Harmonize

Wikendi hii Harmonize kwa mara ya kwanza aliweka picha ya mpenzi wake mpya baada ya wengi kumchana kwa kumwaga Wolper.

Kama ilivyokuwa ikitangaza kwenye mitandaoni, Harmonize anatoka na mrembo wa kizungu na kama hiyo haijatosha wawili hao wanatarajia mtoto wao wa kwanza.

mambo haya mawili yamewaacha mashabiki kama wameduwaa kwa sababu mimba hiyo inaonekana kuwa ina miezi 6.

Hata hivyo, Wolper naye ameonekana aliendelea na maisha yake bila kujali kile mpenzi wake anafanya. Tazama picha hizo hapa;

Wolper afunguka kuhusu uhusiano wake na Harmonize, hii ndio maana hawezi muacha!

Harmonize na Wolper wamekuwa pamoja kwa muda sasa na ingiwa wapenzi hawa pia hupitia mashida kama watu wengine, wawili hawa hawana mipango ya kuachana hivi karibuni.

Miezi kadhaa iliyopita wengi waliacha wakijiuliza kilichotokea kati ya hawa wawili na kuachana kwenye mitandaoni hata hivyo hakuna anayejua lakini kwa sasa wamerudiana na wawili hawa wanapanga kuanza maisha yao pamoja.

Hata hivyo Wolper alifunguka kwa mara ya kwanza kudai kuwa hakuna kitu kibaya ambacho Harmonize hashawai kumfanyia. Wolper alidai kuwa  hajuti kuwa na msanii huyu kwa sababu anamuelewa na pia kwa sababu wanapendana.