Gigy Money Athibitisha Kuacha Kudanga Baada Ya Kuzaa

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na video vixen maarufu Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kudai Binti yake ndio alimuachisha yeye kudanga.

Gigy Money amefunguka na kuweka wazi kuwa kabla ya kuzaa alikuwa anatembea na wanaume ambao walikuwa wanamsaidia kipesa ambao kimjini Mjini wanaitwa madanga au sponsors.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo cha habari cha BBC kupitia kipindi cha The She Word, Gigy Money ameweka wazi kuwa ameamua kuachana na tabia hizo kwa ajili ya binti yake Mayra ambaye ana Miezi kadhaa kwa sasa.

Nilikuwa na miaka kumi na saba nilikuwa najua nini nafanya na niliona ugumu aliokuwa anaupata mama yangu na mara nyingi tunafanya ili kupata hela lakini hatupendi hata kama ni njia rahisi ya kupata pesa, kilichonifanya nibadilike ni mwanangu sitaki aje kuwa kama mimi”.

 

“Siwezi Kusaidia Yatima Wakati Familia Yangu Maskini”-Gigy Money

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi kuwasaidia watoto yatima ilihali familia yake pia inahitaji msaada kutoka kwake.

Kwenye mahojiano na kitu kimoja habari, Gigy Money aliulizwa endapo ana mpango wa kufanya shughuli za kijamii ikiwemo kusaidia watoto yatima lakini Gigy Aliweka wazi kuwa hana Mpango wa kufanya hivyo.

Siwezi kusaidia watoto yatima kabisa! Sio kwamba sipendi kusaidia ila mimi mwenyewe Familia yangu ina mayatima wengi na siku za nyuma nilikuwa naenda kutoa Misaada lakini sasahivi nimekuwa najiangalia ndugu zangu kibao wamekufa wameacha mayatima hawana mtu wa kuwasaidia inabidi nifocus Kwenye Familia yangu kwanza mambo yakikaa vizuri ndio niweze kusaidia watu wa nje”.

Lakini pia Gigy Money amesisitiza kuwa hawezi kutoa Misaada kwa nia ya kujionyesha kwa Watu ili waone kweli anatoa halafu watu katika familia yake hawana msaada.

Mashabiki wengi wampongeza Gigy kwa Kauli yake na kuwataka wasanii waache unafiki wa kutoa Misaada ya kuonekana wakati ndugu zao wanakufa kwa njaa.

Gigy Money Amuomba Msamaha Shilole

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money ameibuka na kumuomba msamaha Msanii mwenzake Shilole baada ya bifu la muda mrefu.

Bifu la Shilole na Gigy Money liliwahi kutawala vichwa vya habari siku za nyuma ambapo Gigy Money alimtolea povu Shilole na kuponda muziki wake na kudai hajui kuimba Lakini pia aliponda kingereza chake anachoongea.

Lakini baada ya miaka kadhaa kupita tangu sakata hilo hatimaye Gigy Money amemuomba radhi Shilole Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo amemshukuru kwa mchango wake na kumpa ushauri wa kumlea mtoto wake kama mama.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Gigy Money ameandika:

Miaka michache nyuma mimi nilikuwa namuongelea vibaya shishi bila kujali ni mama au ana mawazo gani kwa wakati ule basi leo nachukua nafasi hii kumwambia samahani Dada Shilole kwani sikua najua kama na mimi ntakuwa mama au nilikuwa najiona keki kumbe maandazi”.

Hivi sasa Gigy Money ni mama wa mtoto mmoja wa kike anayeitwa Mayra aliyezaa na aliyekuwa mpenzi wake Mo J.

Gigy Money Afungukia Mahusiano Ya Mo J na Diva

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kuongelea uhusiano unaoendelea kati ya  Mtangazaji wa Choice FM Mo J na mtangazaji wa Clouds Fm Diva The Bawse.

Siku chache zilizopita kuna tetesi zilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii kuwa Diva na Mo J ambaye ni mzazi mzazi mwenzake na Gigy Money wapo Kwenye Mahusiano.

Tetesi hizo zilichochewa na video iliyosambaa kwenye social media iliyowaonyesha Wawili hao wakiwa katika mikao ya kimahaba na hivyo kuibua tetesi za uhusiano.

Tangu Gigy Money  ameachana na Mo J ameweka wazi kuwa hawana maelewano mazuri licha ya kumlea mtoto wao pamoja.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Gigy amefunguka baada ya kuulizwa anajisikiaje baada ya kuona Diva Yupo Kwenye Mahusiano na Baby daddy wake ambapo alijibu:

Kawaida sana maaana sina mkataba nao, Hata wewe kipenzi unaweza ukapita naye kiroho safi”.

Lakini pia Gigy Money amesisitiza kuwa hawezi kurudiana Tena na Mo J na hata kuzaa naye Tena hawezi kuthubutu.

Huyu Ndie Steve Mwenye jina la Tatoo Mpya ya Gigy Money.

Siku kadhaa nyuma zilizopita mwanadada Gigy Money alionekana akichora tatoo mpya katika maeneo ya kiunoni na kila mmoja kutaka kujua je tatoo hiyo inamuhusu nani, kwa habari za kunyapa nyapia ni kwamba kwa sasa gigy money yuko na mpenzi mpya .

Mwanaume huyo anaejulikana kwa jina la Steve ndie alieteka moyo wa Gigy money  mpaka kumfanya mwanadada huyo kuamua kuchoara tatoo yenye jina hilo.

Hata hivyo mwanadada huyo ambae alikuwa katika mahaba mazito na mwanahabari Mo jay  huku penzi hilo kupitia misukosuko mpaka kufikia hatua ya kupata mtoto mmoja wa kike kwa sasa limekufa na wawili hao hawako pamoja tena.

Pamoja na yote yanayoendelea ni kwa upande wa Gigy money ndio amekuwa msemaji mkuu huku Mo jay akijiweka kando na kuhusishwa na kitu chochote katika kufa kwa mahusiano yao.

 

Gigy Money Ampigia Magoti Mh Rais.

Msanii wa bongo fleva na ‘video vixen’ nchini, Gift Stanford maarufu kama Gigy Money ameiomba serikali ya Magufuli kuwapa msaada watanzania hususani wasanii, katika kulinda kazi zao sanaa ili kusudi waweze kutuliza akili zao sehemu moja nasio kutanga tanga na maisha.
Gigy Money ameeleza hayo alipokuwa anapiga stori na www.eatv.tv na kusema kwamba wasanii wapo tayari kubadilisha maisha yao ya mtandaoni na kufuata vile sheria za nchi zitakavyo, ila na wao wawaangalie namna ya kuwawezesha.
“Naiomba serikali ituangalie na sisi wasanii katika kazi zetu maana tunabanwa sana ndio maana utakuta wasichana wanaamua kujifyatua akili zao ili mradi apate pesa kwa njia yoyote, aweze kukizi mahitaji yake…..Tupo tayari kubadilika ila na wao tunaomba watusaidie baadhi ya vitu. Ninaamini sio mimi pekee yangu bali ni Tanzania nzima wanahitaji msaada, sema sisi tupo kwenye uoga sana, yaani watanzania wote ni waoga sana tena hususani wasanii pale inapokuja suala la kufungiwa kazi zao”, amesema Gigy Money.
Gigy Money ametoa kauli hiyo baada ya kupewa onyo na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza kuacha kutumia vibaya mitandao ya kijamii na endapo hatofanya hivyo basi watamchukulia sheria stahiki dhidi yake.

Gigy Money Apewa Onyo la Mwsiho , Awekwa Katika Danger Zone.

Serikali kupitia wizara yake ya mambo ya sanaa na wasanii kupitia naibu Waziri Juliana Shonza ametoa onyo la mwisho kwa mwanadada Gigy Money kutokana na tabia yake ya  kutumia mtandao vibaya huku akisambaza sana picha za utupu na maneno machafu katika mtandao.

Mh Juliana anasema kuwa serikali yake haitakubali kufumbia macho mambo kama hayo kwa sababu ndio yanayofanya kupotea kwa maadili kabisa tena  ukizingatia kuwa wasanii ni watu wanaongaliwa sana kwa sasa na watu mbalimbali.

Huyu Gigy money naona kabisa kuwa bado hajaacha michezo yake michafu katika mitandao ya kijamii,safari hii sidhani kama atapona katika sakata la kukamata .lakini kupona kwake ni pale atakapoamua kubadilika na kuachana na iyo tabia  kabisa.

Mh Juliana Shonza amewahasa wake watoto na vijana ambao wamekuwa wakitumia wasanii kama sehemu ya kuiga na kupatia mafunzo yao kuwa kwa sasa serikali  inaamua kufuatalia taarifa na tabia ambazo zinawaonyesha wasanii wapo kinyume na maadili natarabitu  zao hivyo wasanii kuwa  makini katika kuangalia jinsi  tamaduni zinazoweza kuendelezwa,

Kama Nitapewa Gari Nitamgonga Alikiba:- Gigy Money

Mwanadada Gigy money amefunguka na kusema kuwa endapo itatokea kuwa akapata chance ya kumgonga moja ya ma-ex wake aliyowahi kuwa nao katika mapenzi basi msanii atakae kuwa wa kwanza kumgonga atakuwa ni Alikiba.

Gigy Money ambae aliwahi kusema kuwa katika wanaume wote aliwahi kuwa nao kimapenzi alikiba alikuwa akimpenda sana na alikuwa na mapenzi nae ya kweli anasema kuwa uamuzi huo anaweza kuuchukua kwa sababu Alikiba alimuumiza sana.

Gigy ambae siku zote amekuwa muwazi kuwataja wanaume aliowahi kutembea nao anasema kuwa mtu mwingine anaweza kuwa Hemd PHD lalkii mtu wa kwanza atakuwa Alikiba.

nimeshawahi kuwa katika mahusiano namasta wengi akiwemo rich mavoko lakini kama nitapewa gari  nichague wa kumgonga basi atakuwa ni Alikiba na Hemed maana hao waliniumiza sana.

Gigy Money Aanzisha Penzi Na Mmarekani Adai Wabongo Wanazingua

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kuweka wazi kuwa yupo katika penzi jipya na kijana wa kimarekani.

Gigy Money ambaye amehusishwa Kimapenzi na wanaume zaidi ya watatu kwa wiki chache zilizopita ikiwemo Msanii wa Bongo fleva kutoka Records Label ya WCB Lavalava.

Siku ya leo Gigy Money amemposti kijana wa Kimarekani na kutangaza kuwa kwenye Mahusiano naye ya Kimapenzi na kuweka wazi kuwa amechoshwa na Mahusiano na vijana wa kibongo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Gigy Money amemposti kijana huyo na kuandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/Bn3BkdZHaRe/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=bujj5n8qw5xq

Lungi Amcharua Gigy Money Kisa Zari

Muigizaji mkongwe wa Bongo movie Lungi Maulanga amemwagia povu zito msanii wa Bongo fleva Lungi Maulanga kisa Mzazi mwenza wa Diamond Platnumz, Zari The Bosslady.

Lungi ameibuka na kudai hakufurahishwa na maneno yaliyotolewa na Gigy Money na kuelekezwa kwa Zari siku chache zilizopita baada ya wawili hao kuingia kwenye majibizano ya Mtandaoni.

Kwenye Interview yake na gazeti la Ijumaa, Lungi alisema amekuwa akikerwa mno na Gigy ambaye amekuwa akitoa kauli ya kuwa yeye ni mzuri na mrembo kuliko Zari, jambo ambalo siyo kweli kwani msanii huyo hawezi kumfikia hata robo mwanamama huyo ambaye ni raia wa Uganda mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini.

Huyo Gigy alipata jina kwa kukaa utupu, lakini Zari ni mwanamke mpambanaji na ana pesa zake siyo anadanga, sasa namshangaa huyo mtoto kujilinganisha naye.

Ni bora hata mimi nikajilinganisha naye kwa sababu hapa nina watoto wanne, lakini bado ninaonekana mrembo.

Sina hata tumbo, lakini yeye mtoto mmoja tu utadhani anao zaidi ya watano, namsihi anyamaze na aache kutafuta kiki kupitia jina la Zari maana siyo levo zake”.

Gigy Money alimwagia povu zito Zari mara baada ya kutoa kaulia ambayo mwenyewe aliamini ilikuwa imelenga kumdhalilisha.

Ntaenda kwa Mganga Nikipoteza Makalio ;-Gigy Money

Mwandada gigy money amekiri kuwa siri kubwa na msingi kwa mwanamke ni makalio na wala sio kiuno kama ambayo watu wamekuwa wakisema kusema katika mitandao ya kijamii.Gigy anasema kuwa kila siku alikuwa anawaza hapo siku za nyuma nini kitatokea kama angeweza kuamka tu asubui na kukuta hana makalio .

Gigy money anasema kuwa kitu sensitive kama icho asingeweza kumwambia mtu yoyote zaidi ya mama yake lakini angekuwa radhi kufanya lolote na hata kutafuta mganga wa kumngangua ili aweze kurudisha makalio yake kama awali.

sijawahi kuwaza kupotelewa na sehemu za siri, ili niliwahi kuwaza kama ningelala na kuamka nakuta sina makalio. sijui nilikuwa naenda kutegemea nini wakati trend yangu ilikuwa ni makalio….ntaamini nielogwa kwanza na nitatafuta waganga na waganguzi niwaulize makali yangu yako wapi.

Gigy Money Adai Akipewa Nafasi Atawamaliza Ali Kiba na Hemed PHD

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kudai kuwa endapo akiambiwa awagonge wanaume wowote ambao amewahi kuwa nao Kwenye Mahusiano basi atakuwa Ali Kiba na Hemed PHD na Rich Mavoko.

Gigy Money ambaye alianza kuongia Kwenye ulimwengu wa kisanaa kama Video vixen Mpaka sasa Msanii wa Bongo fleva amekiri Kuwahi kuwa Kwenye Mahusiano na wasanii wengi.

Gigy amekiri hapo nyuma kutokana na kufanya kazi za video na wasanii wengi basi pia ameshawahi kuwa nao Kwenye Mahusiano wengi sana na baadhi yao ni Rich Mavoko, Ali Kiba, Hemed PHD na wengineo.

Kwenye Interview moja aliyofanya hivi karibuni Gigy Money aliulizwa ni Ex gani wake staa ambaye leo hii akipewa ruhusa ya kumgonga na gari na kummaliza atamchagua nani?

Ikitokea nimepewa pesa niwagonge wapenzi wangu wa zamani, nitaomba nipewe fuso kabisa tena nitawasaga haswa nikianza na Hemed PHD, Ali Kiba na Rich Mavoko maana waliniumiza sana”.

 

Kuachwa Kawaida Sana ;- Gigy Money

Mwanadada Gigy Money amejikuta akimtolea povu zito shabiki baada ya kuweka comments katika ukurasa wake wa instagram inayomsemea baba mzazi wa mtoto wake.

Gigy Money ambae hivi karibuni amekuwa akionekana na wanaume tofauti na mo jya ambae ndio baba wa mtoto wake amewashangaza watu wengi baada ya kuweka picha akiwa nae huku akiandika captuon kwamba anampenda sana baba wa mtoto wake.

hata baada ya moja ya mashabiki kuongea kuhusu swala la  Gigy kuwahi kusema kuwa amemuacha mo Jay Gigy Money alijikuta akimjibu kwa hasira na kuandika

“hehee kuavchwa ni kawaida sana, i spend time with him a lot na nimeenjoy a lot , its time for another beautiful lady to enjot him…mm namuenjoy him a lot through myra., i mean nimezaa nae na pia ni baba wa mwanangu kwaio i will always be the first  forever bitch ,kaachwa boss wako misa unashngaa mimi aambae sirogi kawaida.”

Natamani Kuzaa na Mtoto Kwanza wa Zari – Gigy Money

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amemtolea povu zito Mzazi mwenza wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady.

Gigy alianza kumtolea povu Zari wiki iliyopita Kwenye mitandao ya kijamii baada ya Zari kudai hataki kuwekwa kundi moja na Gigy.

Lakini inaonekana kama bifu la Gigy kwa Zari halijaisha kwani ameendelea kumuongelea mbovu Kwenye mitandao ya kijamii ambapo sasa ameibuka na kudai anataka kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari ili awe bibi wa mtoto wake.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha habari, Gigy amemwagia povu hili Zari:

Zari mimi nakuahaidi kitu kimoja lazima ni we na mtoto wako wa kwanza ili uwe bibi wa mtoto wangu halafu ndio utaniheshimu na ndio maana sitaki kuongea sana maana atakuwa mama mkwe wangu na hatoamini kwa njia yoyote ile mwanangu atakuwa mrithi wa hizo hela anazoringia na kama siwezi kuwa Bosslady kwa njia moja basi nitakuwa hata kwa urithi”.

Zari ni mama wa watoto watano ambao watoto wake watatu wa kiume alizaa na Marehemu Ivan na watoto wake wawili wadogo amezaa na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Gigy Money Aapa Kuzaa na Mtoto wa Zari ili Kuipata Heshima ya Zari

Mwanadada Gigy money ameiapiza nafsi yake kuwa katika maisha yake anataka kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari wa kiume ili aweze kuapata heshima kutoka kwa zari kama binti yake mkwe na hiyo itamfanya ari aweze kujishusha kwake.

Sasa zari mimi nakuahidi kuwa lazima nizae na mwanao wa kwanza ili wew uwe bibi wa mwanangu ndio ataniheshimu nadhani ,a na alafu yeye atakuwa mama mkwe wangu na hatokaa aamini  nitakapopita na mwanae wa kwanza na kuzaa nae.

Gigy Money amekuwa akisema kuwa mwanamama zari amekuwa na dharau sana hasa kwa wtanzania na kuwa amekuwa akiwahibu vibaya kutokana na hali yake ya kujiita bossy lady wakati hata pesa zenyewe sio yeye amekuwa akitafuta bali ni pesa za kupewa na wanaume.

 

 

Alichosema Gigy Money Kuhusu Style Mpya ya Nywele ya Diamond.

Mwanadada Gigy Money ambae kila siku amekuwa akifanya mambo  yenye drama  huku mwenyewe akisema kuwa hayo ndio maisha yake halisi, amefunguka na kuelezea kile anachgoamini kuhusu style ya nywele ya Diamond mpya ambayo ameionesha jana kwa mara ya kwanza.

Diamond ambae ameamua kubadlisha style ya nywele na kusema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa ajili ya kuwa na muonekanao mpya amonekana kuwa amesuka nywele za rasta na kuamua kuzibana kabisa.

Hata hivyo kwa Gigy Money anaamini kuwa swala la diamond kuamua kusuka ni kwa ajili ya kumsapoti hamisa ambae kwa sasa ni balozi wa kampuni ya nywele ya Prima Afro hivyo ameamua kusuka ikiwa ni kwa ajili ya kumsapoti kufanya matangaza kama balozi.

leo ni monday right na Diamond ni my monday crush right,sema chibu unampenda sana mama dee na ninapenda sana unavyomsapoti kwakweli, unajua mpaka kusuka rasta na kubana sio poa kabisa.I love you nasibu super star mwenzangu coz unafanya kitu roho inapenda.