Mwanadada Gigy moeny bado anaendelea lumuandana zari the bossy ambapo mara ya kwanza alisema kuwa hata yeye anaweza kutembea na diamond kama atataka na wala silinge sana kwa sababu hana ela kiasi cha kuwalingia watanzania kiasi hicho,
Alipokuwa katika birthday party ya Jux, Gigy aliulizwa tena kuhusu swala hilo na ndipo aliposema tena kuwa hata yeye anaweza kupata ela na kutobo akamalivyotoboa Zari kwa sababu kwa historia ya zari wala hakupata ela hizo kwa kuzitafuta bali alipewa na mwanaume.
Gigy anasema kuwa alikuwa anampedna sana zari lakinikwa sasa hapana kwa sababu ya tabia yake ya kuwa anwajibu na kuwatukana watanzania katika mitandao.
Zari mimi nilikuwa nampenda sana, ila amefeli kwa sababu yeye ni star pamoja nakwamba haimbi lakini hakupswa kuwa anweka temper za kujibu watu vibaya na mimi ukinidharau babu hata kama sina shaba nakutungua tu, mimi mwenyewe tu nnayo na wote tunapumua pmzi ya bure kwanini ulinge.
kwani yeye katoboa ka-hustle na mimi anaweza akatokea mshefa babu mjini pakawa hapakaliki hapa.
Hata hivyo aliwahi kusikika akisema kuwa mtoto mkubwa wa zari hata yeye anaweza kumuona, Gigy money alijibu kuwa kama mapenz yapo anaweza kuolewa nae kwake hana shida(huku akijibu kwa vijembe kuwa sasa hivi ameshammwaga Mo J)