kisirani cha Gigy Money Bado Chamuandana Zari

Mwanadada Gigy moeny bado anaendelea lumuandana zari the bossy ambapo mara ya kwanza alisema kuwa hata yeye anaweza kutembea na diamond kama atataka na wala silinge sana kwa sababu hana ela kiasi cha kuwalingia watanzania kiasi hicho,

Alipokuwa katika birthday party ya Jux, Gigy aliulizwa tena kuhusu swala hilo na ndipo aliposema tena kuwa hata yeye anaweza kupata ela na kutobo akamalivyotoboa Zari kwa sababu kwa historia ya zari wala hakupata ela hizo kwa kuzitafuta bali alipewa na mwanaume.

Gigy anasema kuwa alikuwa anampedna sana zari lakinikwa sasa hapana kwa sababu ya tabia yake ya kuwa anwajibu na kuwatukana watanzania katika mitandao.

Zari mimi nilikuwa nampenda sana, ila amefeli kwa sababu yeye ni star pamoja nakwamba haimbi lakini hakupswa kuwa anweka temper  za kujibu watu vibaya na mimi ukinidharau babu hata kama sina shaba nakutungua tu, mimi mwenyewe tu nnayo na wote tunapumua pmzi ya bure kwanini ulinge.

kwani yeye katoboa ka-hustle na mimi anaweza akatokea mshefa babu mjini pakawa hapakaliki hapa.

Hata hivyo aliwahi kusikika akisema kuwa mtoto mkubwa wa zari hata yeye anaweza kumuona, Gigy money alijibu kuwa kama mapenz yapo  anaweza kuolewa nae kwake hana shida(huku akijibu kwa vijembe kuwa sasa hivi ameshammwaga Mo J)

Gigy Money Atoboa Siri ya Aliyeimba I like It Kwenye Jibebe Ya Diamond ni Hamisa.

Kwa muda sasa tangu wimbo wa jibebe umeanza kusikika katika masikio ya watu na mpaka video yake kutoka katika television mbalimbali watu wamekuwa wakijiuliza ni nani aliyeimba wimbo huo na kwamba kwanini hata kwenye vide hajaonekana.

Basi siri imevuja baada ya mwanadada Gigy Money kuamua kutoa siri hiyo kuwa aliyeimba kasauti hako katamu ambako watu wengi wamekuwa wakiipenda na kumuulizia muimbaji kuwa ni Hamisa Mobeto mzazi mwenzie na Diamond.

hamisa na gigy money ni marafiki hivyo kwa asilimia fulani maneno ya Gigy Money yatakuwa na ukweli ndani yake . Gigy Money anasema ” Najua Hamisa anafanya muziki sio kwa biashara ila for funny , ila ile i like it ya jibebe  ameweka yeye , ana sauti nzuri ila siwezi sema kuwa atafika mbali kweye muziki.

Gigy Money Amtolea Povu Zito Zari Adai Sio Type Yake

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Kiki ni Gigy’ amemwaga povu zito akilielekeza dhidi ya Baby mama wa staa wa Bongo fleva Diamond, Zarinah.

Gigy amemrushia maneno makali ya kejeli Zari baada ya Zari kutaka asihusishwe na Gigy siku chache zilizopita.

Sakata zilianza baada ya Zari kuposti picha katika ukurasa wake wa Instagram akiwa anazindua chuo ndipo shabiki mmoja alimtag Gigy baada ya kuona Gigy ametajwa Kwenye page yake Zari alisema ni kama amedhalilishwa kuhusishwa kwa njia yoyote na Gigy Money.

Kwenye mahojiano na Bongo stars, Gigy Money amemwagia povu zito Zari:

 

 

Pesa Yakwamisha Ndoto ya Gigy Kuwa kama Nick Minaj

Mwanadada Gigy Money ambe hivi karibuni kulienea kwa picha katika mtandao wa instagram akiwa na mwanaume mwingie na kusema mwanaume huyo kutoa Zanzibar ameamua kumchumbia na hivi karibuni wanategemea kufunga ndoa.

Hata hivyo katika interview zake , gigy moenya kama akwaida amekuwa mtu wa kuongea mambo mengi na mengi  yenye drama za hapa na pale kuhusu maisha yake na ya wasanii wengine kwa ujumla.

Gigy amezua tena balaa jingine na kuongelewa katika mitandao ya kijamii baada ya kusema kuwa amekuwa na ndoto ya kutengeneza maziwa yake ili yawe kama yale ya mwanadada kutoka nje Nick minaj lakini anakwama kufanya hivyo kutokana na kukosekana kwa pesa .

Gigy anasema kama angepata pesa bas angetengeneza maziwa yake kwa gahrama yoyote hile.

 

Gigy Money Adai Yeye na Ali Kiba Wako Level Moja

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kudai yeye kama ilivyo kwa Msanii mwenzake Ali Kiba wanaweza kuhit na nyimbo moja kwa mwaka mzima.

Gigy Money amefunguka na kudai hapendi kutoa nyimbo back to back kama wasanii wengine kwani inaweza kuua brand yake bali hupendelea kutoa nyimbo mara moja moja.

Kwenye mahojiano aliyofanya na mtandao wa East Africa amefunguka haya:

Siku si nyingi nakaribia kuachia kazi yangu mpya, watu wakae tayari naamini wimbo wangu utatingisha kinoma. Sipendi kutoa ngoma mpya mfululizo kwasababu huwa napenda kujikuta Alikiba kidogo, maana ninaweza ku-hit bila ya kutoa ngoma mwaka mzima”.

Lakini pia Gigy Money Anna mtazamo tofauti na wasanii wenzake pale linapokuja suala la kutoa Albamu kwani amedai hana mpango huo:

Sio kila msanii atakuwa na ubavu wa kuingia studio na kurekodi nyimbo 10 ili atengeneze albamu, kwangu mimi watu watasubiri sana katika hilo ila kama watu wanataka kuni-enjoy basi waendelee kunisikiliza kwenye ‘single’ moja moja, kwa maana sina hiyo pesa ya kutengeneza albamu kiukweli, halafu siwezi kujifungia studio muda wote kufanya kazi wakati mwanangu ananitegemea”.

 

Gigy Money Amtolea Uvivu Irene Uwoya.

Msanii wa bongo fleva na ‘video vixen’ nchini, Gigy Money amefunguka na kumchana muigizaji wa filamu, Irene Uwoya kuwa umri wake umeshaisha wa kutengeneza ‘skendo’ za kuvaa na kupiga picha za nusu utupu na ndio maana anawasii watu wengine kuwa kama yeye.
Gigy ametoa kauli hiyo alipokuwa anazungumza na www.eatv.tv baada ya kupita takribani siku tano tokea mwanadada Irene Uwoya alipotoa kauli yake, ya kuwataka ma-star wenzake kuacha kutumia ‘skendo’ za kupiga picha nusu utupu kwa madai vitendo hivyo vinamchukiza hadi Mungu.
“Ana haki ya kuongea hivyo Irene, kwasababu ameshamaliza ujana wake wa kufanya vitu vya hivyo na anajua faida na hasara zake, ila sisi bado tutaendelea hadi pale tutakapoona imefikia tamati, ndio nasi tutaacha na kuwa kama yeye”, amesema Gigy.
Mbali na hilo, Gigy Money amesema mitandao ya kijamii imewasaidia kwa kiasi kikubwa kuwatambulisha katika jamii, jambo ambalo likapelekea na wao kuonyesha kipaji chao cha uimbaji walichokuwa nacho baadhi ya watu.
“Kinachoimba sio mavazi, mimi ninaamini kwenye kipaji zaidi kuliko kitu chochote. Lakini kama tungeanza kwenye muziki wasingetufahamu hadi hii leo na ndio maana kila mtu ana njia yake ya kujisogeza pahali fulani. Kwa hiyo waangalie u-serious wa mtu, vitu vingine ni ‘brand’ tu”, amesisitiza Gigy.

Gigy Money ni miongoni mwa wanadada walioweza kujipatia umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, kwa vituko vyake anavyovifanya kila kukicha bila ya kuhofia kitu chochote kilichopo mbele yake.

Gigy Money Atangaza Kuchumbiwa na Mwanaume Tofauti na Mo jay

Mwanadada Gigy Money kwa mara nyingine tena ametangza kuchumbiwa na mwanaume kutoka zanzibar ambae ni tofauti nayule ambae watu walizoea kumuona ambae ni baba wa mtoto wake mmoja.

Gigy Money anasema kuwa amechumbiwa na mwanaume huyo kutoka zanzibar na soon wanatarajia kufumga ndoa na huo ndio uamuzi aliuuchukuwa baada ya kuona watu wamekuwa wakihoji maswali mengi baada ya kusambaa kwa picha nyingi katika mitandao ya kijamii akionkana na mwanaume mwingine tofauti na baba wa mtoto wake.

Kuhusu Mo jay , Gigy Money amesema kuwa ameshindwana na mo kwa sababu ya tabia zake,lakini kama utakumbuka siku za hapo nyuma kulikuwa na ugomvi mkubwa kati  ya Gigy Money na Mo Jay kufikia hatua ya kutengana kabisa kwa sababu ya maswala yao ya kifamilia.

Gigy Money Afunguka , Asingezaa , Angeshiriki Mashindani ya U-Miss.

Mwanadada Gigy Money amefunguka na kusema kuwa endapo angekuwa bado hajaza mpaka sasa na kwa mwili ambao anao kwa sasa lazima angeshinda na kuchukua tajila miss dar es salaam.

Gigy Money ambae  amekuwa haishii na kiki na drama kila siku anasema kuwa  kwa upande wake hana aibu hata kidogo kwaio anaweze akutembea mbele za watu, alkini pia umri wake una ruhusu miaka 21 na pia mwili wake una ruhusu kabisa kushiriki mashindano hayo.

Yaan kama ningekuwa sijazaa na huu mwli nimeupata  ningechukua hilo taji la miss dar arena vizuri tu, kwani mimi nina iabu , haka mimi mkavu lakini pia na mwili si ninao. tatizo umri kwani si niana miaka 21, bado mdogo na nina haki sema tu ni kwamba mimi nina mtoto  na miss hawezi kuwa na mtoto.

Gigy money ana mtoto mmoja wa kike aliyezaa na mtangazaji wa radio moja jijini anaejulikana kama Mojay.

 

Nyoshi:-Nikimuoa Gigy Money, Watoto 10 Tutazaa.

Msanii wa miondoko ya dansi nyoshi el-sadaat amefunguka na kuongea yake ya moyoni mwake kuhusu kumpenda sana kimapenzi msanii wa bongo fleva asieishiwa na drama kila siku gigy money ambae amejifungua miezi michache iliyopita.

nyoshi anasema kuwa amekuwa akimpenda ukweli mwanadada huyo na kama asingekuwa amewahiwa na mwanaume mwingine basi angemuoa yeye na hata kuzaa nae watoto 10  kwa sababu ya upendo wake.

Gigy money mimi nina mpendaga sana, nina penda tu yale mambo yake yananivutiaga sana, kwa bahati mbaya ameshagakuolewa  na bwana yake lakini kama angetokea na nini na nini , ningefanya hayo tu na kuamua kumuoa tu kwa sababu si mwanamke kama wanawake wengine tu nashindwaga kumuoa.kwa mfano ningemuoa Gigy money watoto kumi ndio vizuri.

Gigy Money Asema Yuko Tayari Kumzalia Moj Hata Watoto Wanne

Mwanadada Gigy Money ambae kila siku amekuwa haishiwi ku wa na skendo katika mitandao  ya kijamii amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yee na mzazi mwenzie mo ja wako pamoja na wako vizuri hakuna ugomvi na kama mo jay atataka watoto wengine yuko tayari kumzalia hata watoto wannne,

Hapo mwanzo wawili hao walikuwa katika mgogoor mkubwa na mpaka kufikia hatua Gigy money kusema kuwa mtoto huyo sio wa Mo Jay bali ni wa mwanaume mwingine ambae yeye mwenyewe alimtaja kwa jina la Stan.

Gigy money  na mo jay  wamekuwa katika misuko suko hivi karibuni na kufikia hatu aya kugombana mpaka kutupiana vitu nje , huko Gigy Money akimsema na kumtusi sana mo jay katika mitandao ya kijamii.

Hata hivyo mwisho wa siku hayo ni mapenzi na ndio maana sasa wap pamoja kwa ajili ya kulea mtoto wao

 

 

 

 

Gigy Money Atoa Ushauri kwa Wanaotembea na Waume za Watu.

mwanadada Gigy money amefunguka nakuongelea swala la wanawake wenzake kuwa uru kwa kutembea na wanaume wa watu bila kujali maumivu wanayoyapata wanawake wenzao na huku wao wakiwa wanajua kabisa kuwa mwanaume anayetembea nae ni mume wa mtu.

Gigy money anasema kuwa ukiwa na mwanaume anayelala kwako na kukujali wewe kila muda huku akiwa amacha mwanamke wake nyumbani basi huyo ujue ni shetani tena mnyama kabisa wala hana huruma.

Gigy money anasema kuwa usione mwanamke anakaa kwa mwanaume wake huku mwanaume huyo akiwa na wanwake wengine nje, swala ni kwamba unakuwa hujui ni kitu gani kimemfanya aendelee kukaa mule ndani bila kuondoka yeye au na watoto wake hivyo wanawake wanapaswa kuwa na huruma na wanawake wenzao.

Katika ukurasa wake wa instagram, Gigy money ameandika kwa  kuonyesha uchungu wanaoupata wanawake wengine waliopo katika ndoa huku michepuko ikiona kutembea na wanaume za watu ni swala la kawaida tena lenye furaha kabisa.

 

“Mimi na Zari Ndio Tupo Juu Wengine Wote Hamna Kitu”- Gigy Money

Video vixen na Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money ameibuka na kudai staa pekee ambaye yupo kwenye level zake ni Baby mama wa Diamond Platnumz, Zari.

Gigy Money amefunguka hayo alipokuwa anaongelea trend yake ya kubadilisha Mawigi na mawiving siku za hivi karibuni.

Kwenye mahojiano na Kipindi cha The Playlist cha Times Fm, Gigy amedai yeye na Zari ndio mastaa pekee ambao wanabadilisha nywele kichwani na wengine wote wanakuwa na tabia ya kurudia rudia nywele kichwani.

Yaani hao wanaojiita mastaa wengi Hawako katika level zangu maana sitaki kufanana nao ndio maana natumia pesa nyingi.

Hata wewe ukifatilia utajua mademu wanaobadilisha nywele kuna Zari na Gigy na labda nimuweke Irene Uwoya lakini kwa kuwa na yeye ni mtu wa siku nyingi namtoa lakini kwa sasa hivi ni mimi na Zari tu na tunavaa human hair hatuvai plstiki kabisa”.

Lakini pia Gigy Money amedai yeye ni kivutio cha taifa hasa mwili wake umekuwa kivutio kwa wengi ndio maaana anapenda kuchezesha mwili wake na ku twerk Kwenye shoo zake.

Gigy Atamani Kuzaa na Diamond na Idris, Lakini Sio na Nay wa Mitego.

Mwanadada Gigy Money ambae kila siku huwa hachoki kuwa na drama za hapa na pale amefunguka na kusema kuwa katika sifa alnazozitaa kwa mwanaume moja wapo ni mwanaume mrefu .hata hivyo gigy maewatolea mfano wa wanaume ambao natamani kuzaa nao kwa sababu anaamini kuwa akizaa nao watato watoto wazuri sana.

pamoja na kwamba gigy money kwa sasa anamtoto ambae amtimiza kama miezi mitatu tangu kuzaliwa, lakini bado Gigy Money anasema kuwa anaweza kuwa na ndoto ya kuzaa na  Idris Sutani pamoja na Diamond  kwa sababu anaamini watoto watakuwa wazuri sana.

Natamnai kupata mtoto na idris na diamond kwa sababu naamini mtoto atakuwa mzuro kweli kweli , mimi ninapenda sana wanaume warefu kwakweli .Lakini pia siwezi kuwa kwenye mahusiano na Nay wa mitego.

 

 

Wanaume wa Siku Hizi Wanakula Kutokana na Jasho la Wanawake;-Gigy Money

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Gigy Money amefunguka na kuongelea tabia mbaya za wanaume wa siku hizi za kupenda kulelewa na wanawake bila kujua kwa wanawakiwa kutafuta pesa kwa ajili ya yao na familia zao.

Gigy money amba ni moja kati ya wanawake watafuraji tena hasa katika kipindi hiki anacofanya kazi kwa nguvu kwa ajili yake na mtoto wake anasema kuwa wanaume wengi wa mjini siku hizi ni vingasti wanategemea kulelewa na wanawake ili kuishi mjini.

watoto wa Kimue wa siku hizi ni ving’asti wanakula kutokana na jasho la wanwake,sasa hivi tuweke tu haki sawa tunawalea sana watoto wa kiume.

Gigy Money Azimikia Figa Ya Vanessa Mdee

Msanii wa Bongo fleva Gigy Money amefunguka na kuweka wazi kuwa anavutiwa sana umbo la msanii mwenzake Vanessa Mdee.

Moja kati ya vitu ambavyo vilitengeneza headlines kuhusu Gigy Money ni kupungua ghafla kwa mwili wake na kuzua tetesi kuwa anaumwa na maneno mengine mengine.

Lakini Kwenye mahojiano na Clouds Fm, Gigy Money amesema hivi sasa anajithidi kupunguza mwili wake ili aweze kutumbuiza vizuri jukwaani kama anavyofanya Vanessa Mdee.

Kuna muonekano wa show tofauti na picha za Instagram mimi sasa hivi ni performer, huwezi kwenda jukwaani una limwili lako tu. Kwa hiyo mtu unatakiwa na mwili fulani hivi”.

Do you look Vanessa akiwa ana-perform, how do you feel unaoana kabisa machachari, anaweza kuwa na bendi, anaweza kuinua mguu, unafurahi, sio mtu shabiki anasubiri utikise makalio tu”.

Siku chache zilizopita Gigy Money alikiri kuwa sababu pekee iliyomfanya mpaka apungue mwili ni mapenzi ambapo alikuwa anaumizwa na penzi la Baba watoto wake Mo J.

Vannesa Mdee Alivyombadili Gigy Money Kimavazi

mwanadada gigy money amefunguka na kutoa sababu kubwa kwanini sasa hivi anajitahidi sana kubadilisha muoekano wake pamoja na kupunguza mwili huku akitaja sababu kubwa ni kwa sababu anamwangalia vanesa jinsi anavyokuwa na uhuru na mwili wake.

Muimbaji huyo amesema anahitaji kuwa na mwili ambao utamfanya aweze kutumbuiza vizuri jukwaani kama anavyofanya Vanessa Mdee.

Kuna muonekano wa show tofauti na picha za Instagram mimi sasa hivi ni performer, huwezi kwenda jukwaani una limwili lako tu. Kwa hiyo mtu unatakiwa na mwili fulani hivi,” amesema.

“Do you look Vanessa akiwa ana-perform, how do you feel unaoana kabisa machachari, anaweza kuwa na bendi, anaweza kuinua mguu, unafurahi, sio mtu shabiki anasubiri utikise makalio tu,” Gigy Money ameiambia Bongo5.

Kabla ya kuingia kwenye muziki Gigy Money alikuwa akitokea kwenye video za wasanii kama video vixen. Kwa sasa ni msanii mwenye nyimbo tatu ambazo ni Supu, Papa na Mimina