Picha ya Hamisa Mobetto akiwa amevaa suruali ya Diamond Platnumz

Kuna riporti zimekuwa zikianaa mitandaoni kuwa Diamond Platnumz ashawai kuwa na mahusiano ya ndani na Hamisa Mobetto, video vixen ambaye alishirikisha kwenye video yake ya Salome.

Hivi majuzi kuna picha iliyoebuka mitandaoni ikimuonesha Hamisa Mobetto kama amevaa suruali ya Diamond Platnumz.

Picha hii imewawacha mashabiki wakiamini kuwa wawili hawa washiakuwa pamoja na hivi ndivyo Hamisa aliweza kuipata suruali hii.

Ingawa hakuna kitu kinachodhibitisha kuwa Hamisa alitoa trouser hii kwa Diamond Platnumz, wengi bado wanaamini kuwa uvumi uliokuwa ukiwafuata Diamond na Hamisa Mobetto ni wa ukweli.

Pia Wengi wanadai kuwa hii ndio maana Zari Hassan and Mobetto hawajaweza kupatana kwa muda sasa.

Hamisa Mobetto hajazungumzia kuhusu picha hii inayoenea mitandaoni lakini mashabiki wa team Diamond Platnumz wamekuwa wakimtag mrembo huyu kwa hiyo picha kuona kama ataweza kusema kitu kuihusu.

Hata hivyo, Tazama hiyo picha hapa chini.

Hamisa na Diamond Platnumz kavaa suruali zinazo fanana
Hamisa na Diamond Platnumz kavaa suruali zinazo fanana

Tiffah Dangote amependeza zaidi na mavazi ya kiume ya kakake Nillan?

Mtoto wa kwanza wa Diamond Platnumz, Tiffah Dangote, wikendi hii aliwafurahisha wengi alipovalia nguo za mdogo wake, Nillan na kuposti picha kuwaonyesha mashibiki wake.

Kupitia mtandao wa Instagram, mamake Tiffah aliposti picha za Tiffah akiwa amevalia mavazi ya kiume na kwenye caption akaandika alikuwa ameazima nguo za Nillan alizozivaa wakati wa #40 photoshoot.

Rocking @princenillan shirt and hat from his #40 photoshoot. Everything from #BABYSHOP

Mashabiki wengi walimpongeza mtoto huyu kwa fashion sense yake huku wakisema kuwa amependeza sana na nguo hizi. Tiffah Dangote ambaye atafikisha miaka miwili mwezi wa Agosti ameonekana kuwa mtoto ambaye anataste nzuri ya mavazi na inaweza kuwa mamake, Zari Hassan, ndiye anayemfunza mtot huyu kuwa a fashion icon wa watoto maarufu Tanzania.

Kwenye picha hizi mpya, Tee pia amaonekana pia kufanana na baba yake sana. Angalia picha za Tee kama amevalia nguo za mdogo wake hapa.

Tiffah's tomboy look
Tiffah’s tomboy look
Tiffah apendeza na mavazi yake ya tomboy
Tiffah apendeza na mavazi yake ya tomboy

“Si mtegemia mtu mimi” Diamond Platnumz awaambia wandiishi wa habari wanaomharibia sifa

Inaonekana kuwa Mwimbaji Diamond Platnumz amechoshwa na wanatangazali na waandishi ambao wamekuwa wakimsema vibaya. Kupitia interview aliyoifanya na Kings FM Diamond alisema kuwa wanajiharibia wakati.

Diamond Platnumz aliendelea kusemakuwa hapo alipofika, hategemei Redio wala TV kumpa push anapotoa nyimbo zake. Hivi sasa yeye ni big fish na anaamini kuwa mashabiki wake wapo kumsaidia kupromote projects zake.

“Unajua kwamba kuna kiwango unapofikia,unapokuwa na mashabiki wengi,lazima uongeze ufanisi wako wa usambazaji wa kazi zako.Tuna redio tuna TV, lakini pia lazima tuongeze namna zingine za kupromote kazi zako,” amesema Diamond.

Akizungumza exclusively na Prince Ramalove kupitia Kings FM, Diamond aliendelea kusema kuwa waandishi na wanahabari hupenda kutengeza controversy kupitia wanachoandika kumfanya mtu kukakaa vibaya mbele ya watu.

“Wasanii wanatakiwa wajiongeze, sasa naona kuna watu wameichukua tofauti na kuipindua kumtengenezea mtu baya,lakini wanapoteza muda.”

Hata hivyo, Diamond Platnumz aliongeza kusema anaheshimu media ata wanapomchomea picha, bado yeye anaamini kuwa hiyo ni part of their wrok.

Hatimaye Ray C akutana na Rayvanny na Diamond Platnumz

Mwimbaji mkongwe, Ray C, aliweza kukutane na wmibaji anayempenda sana Rayvanny hivi majuzi wakiwa HQ ya Wcb_wasafi baada kikao juu ya sanaa.

Kupitia mtandao wa Instagram, Ray C aliweka video yake na Rayvanny wakiimba na kulingana na tabasamu yake mwibaji huyu alikuwa ameeingojea siku hii kwa hamu na ngamu.

Kwa muda sasa Ray C amekuwa akitamani kufanya kazi na kijana huyu wa Wasafi records na hivi sasa kuna dalili kuwa wawili hao wanauwezo wa kuachilia nyimbo pamoja.

Ingawa Ray C alikuwa na shida na management yake, hivi sasa nyimbo zake zinawaweza kupatikana katika mtandao mpya wa wasafidotcom.

Mama Saida Karoli na Professor Jay pia walikuwa katika kikao hiki kilicho fanyika Jumanne iliyopita. Tazama video ya Ray C na Rayvanny hapa.

??????????

A post shared by Ray C (@rayctanzania) on Mar 14, 2017 at 1:06pm PDT

Paul Makonda asema vijana wengi wameacha madawa ya kulevya tangu awachukulie watu maharufu hatua

Paul Makonda anaonekana kuwa mtu anayefuraha nyingi baada ya kufanya vijana waache kutumia madawa ya kulevya. Katika sherehe zilizofanyika hivi majuzi, Paul Makonda alisikika akisema kuwa vijana wengi wameacha madawa kupitia jitihada alizofanya kwa kushirikiana na Watendaji wengine wa Serikali.

Soma:“Mkome kunihusisha na watu wasio jua kitu chochote kuhusu maisha yangu” Wema Sepetu awaonya mashabiki
Mh Makonda huyu amesema kuwa jambo hilo linawafurahisha wazazi wengi walikuwa wanahofia watoto wao kupotea kwa kutumia madawa haya. Ingawa si wote wamebadilika, Makonda anaendelea kujitia moyo kuwa siku itafika na pia wao watanaswa na mkono wa serikali kuwanyosha.

Mwezi uliopita Paul Makonda aliwapeana amri kuwa Wema Sepetu, Romy Jones, TID na wengine wakamatwe kwa kushukiwa kuwa walikuwa wanahuika na mauzaji na matumiaji ya dawa za kulevya.

Lakini kwa sasa Paul Makonda amemsifu TID kwa kusema kuwa anaendelea vizuri na pia afya yake inaendelea kuwa nzuri. Hivi sasa anvutia kisura na ikiwa amejitolea kuachan madawa kabisa, basi mwezi ijayo atakuwa mtu wa maana tena

“Mkome kunihusisha na watu wasio jua kitu chochote kuhusu maisha yangu” Wema Sepetu awaonya mashabiki

Mrembo Wema Sepetu ambaye sasa ameingia kwenye siasa hici juzi aliwaonya mashabbiki ambao wamekuwa wakimhusisha na mambo yasiyo na mbele au nyuma.

Kupitia mtandao was Instagram Wema Sepetu aliandika ujumbe mrefu huku akiwaomba mashibiki wakome kumfikiria kuwa yeye anamahusiano na Kibabude. Wawili hawa walikuwa wanashukiwa kuwa wanamahusiano baada ya kuonekana wakiwa pamoja mara kadhaa.

Wema aliandika kusema…

They Say Silence is The Best Weapon but sometimes Silence can mislead you…. Just sometimes though…. Anyways, Y’all better stop involving me with people who dont know a pinch abt my life… Im a People’s person, Talking to everyone & laughing with everyone is what I do… Mwisho wa siku hakuna binadamu aliekamilika chini ya jua… Y’all know Im a sweetheart like that… So lets nat misunderstand one another…. I hope we are Clear…. If there is anything anyone would like to ask then Download my app and subscribe…. I just cant wait for iOs users to join our Family…. There’s gon be sooo much FUN….!!!

Kibabude ata yeye amekana kuwa mpenzi wa Wema na akaelezea kuwa kwa hivi sasa amerudiana na mama watoto wako. Kwa hivyo kwa sasa hataki drama mitandaoni itakayo vunja familia yake.